f


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Saturday, September 18, 2010

NEWS IN FULL

MISS EARTH 2010 ROSE SHAYO KWENDA VIETNAM


MWAKILISHI wa Tanzania katika mashindano ya Miss Earth 2010, Rose Shayo aliondoka nchini jana kwenda Vietnam huku akiwa na matumaini makubwa ya kufanya vyema katika mashindano hayo.
Akizungumza kabla ya kuondoka, Rose alisema kuwa amejiandaa viliyvyo chini ya muandaaji ake, Maria Sarungi wa Compass Communications and bila shaka atafanya vyema katika mashindano hayo.
Rose amesema kuwa haendi kuwa msindikizaji katika mashindano hayo na atafanya kila aliwezalo ili kufanya vyema kama ilivyokuwa kwa Miriam Odemba mwaka 2008 nchini Philippines.
“Najua kuna kushinda na kushindwa, mimi sitarajii kushindwa kutokana na maandalizi yangu, nawaomba Watanzania wanipe sapoti kubwa wakati wote nikiwa kambini na siku ya mashindano,” alisema Rose.
Maria alisema kuwa, alisema mrembo huyo amejiandaa vizuri kwakuwa mashindano ya kumsaka mrembo huyo yalifanyika mapema mwaka huu.
“Mashindano ya kumsaka mrembo huyu yalifanyika tangu mwezi wan nne mwaka huu kutokana na hali hiyo alipata muda mwingi wakujiaandaa hali inayomuweka ka

DESIGNER'S KUTOKA NCHIMBALIMBALI

Wakiwa wamepozi katika picha ya pamoja.
Jukwaa la tatu la Swahili fashion Week linaanza leo katika viwanja vya karimjee jijini Dar es salaam na kudumu kwa muda wa siku tatu hadi tarehe 6 ya mwezi wa November 2010.
Katika jukwaa la mwaka huu jumla ya wabunifu 24 kutoka nchi za Afrika hasa zile zinazozungumza lugha ya Kiswahili wamejiandaa vya kutosha katika kuonesha kazi zenye viwango vya kimataifa.
“Tunashukuru kwani mipango yote inakwend kama tulivyopanga na tayari wabunifu wote wamefika kwa ajili ya shoo kabambe ambapo itakuwa na tofauti kubwa kulinganisha na zile zilizopita. Tayari wabunifu wote 24 kutoka Tanzania na nchi za Pan Afrika wapo tayari kwa shoo ya mwaka, inayoandaliwa nyumbani mwa Swahili Fashion Week.” Alisema Mustafa Hassanali muandaaji wa Swahili Fashion Week
“Kwa mara nyingine tena tupo na Swahili Fashion Week 2010, na kusaidia kukuza Sanaa ya ubunifu wa mavazi hapa nchini, pamoja na kuwakaribisha wageni wetu ambao ni wabunifu wa kimataifa. Southern Sun inajivunia kutokana na mchango wake inayotoa kwa Sanaa ya ubunifu wa mavazi Afrika na hii intupa fursa ya kuendelea kwa njia mbalimbali.” Alisema meneja mkuu wa southern sun Hotel Ndugu Adam fuller
Southern Sun hotel imekuwa nyumba ya Swahili Fashion Week toka mwaka 2009.
Swahili Fashion Week inafanyika kwa mwaka watatu sasa na itawashirikisha wabunifu 24 ambapo kwa mujibu wa ratiba, siku ya kwanza shoo itapambwa na Manju Msita (Tanzania),Sonu Sharma (Kenya),Shelina Ebrahim (Tanzania/Canada),United Against Malaria (Tanzania Various),Farha Sultan (Tanzania),Tanzania Mitindo House (Tanzania - Various), KemiKalikawe (Tanzania) na Asia Idarous (Tanzania)
Kwa upande wa tarehe tano, siku ya ijumaa mwanamitindo kutoka Tanzania Jamila Vera Swai tfungua pazia akifuatiwa na Marinella Rodriguez (Mozambique),Stella Atal (Uganda),Kooroo (Kenya),Zamda George (Tanzania),Mafi Designs (Ethiopia),Moo Cow (Kenya),Robi Morro (Tanzania),Made by Africa (Tanzania) na Asos Africa (UK)
Tarehe sita November siku ya mwisho ya jukwaa la Swahili Fashion Week, wabunifu wtakoonesha kazi zao ni pamoj na wabunifu wanane wanaochipukia waliofanikiwa kuingia fainali kupitia shindano la wabunifu wanaochipukia, Emerging Designers Competition (Tanzania - Various),Gabriel Mollel (Tanzania),Khadija Mwanamboka (Tanzania),KikoRomeo (Kenya), John Kaveke (Kenya), Chichia London (Tanzania/UK), Ailinda Sawe (Tanzania)
“ Pamoja na kuwakaribisha wageni wetu ambao ni wabinifu wa mavazi , pia Southern itatoa zawadi kwa gauni bora katika Swahili Fashion Week kwa huu , lengo ni kusaidia kukuza Sanaa ya ubunifu wa mavazi” Aliongeza Saphia Ngalapi, Swahili Fashion Week PR manager


BENJAMIN KUTOA SINGLE YAKE MPYA YA MY FRIEND
Katika wimbo huo benja amejaribu kuzungumzia maisha halisi amboyo baadhi ya marafiki huyafanya kwa marafikizao na kusahau misaada au fadhila walizopewa na marafikizao.

KANUMBA KUVUMBUA KIPAJICHA MAGESE KWENYE FILAMU YA UNCLE JJ

Kanumba na Magese Tukiwa location tukijiandaa na sini
Mdau wa mitindo na urembo mr. magse amepata shavu toka kwa swaiba wake wa siku nyingi The Greatsteve Kanumba ''moviez king' kwa kuahidi kufanya kila liwezekanalo kumfikisha swaiba
wake magese katika anga za filamu kimataifa.

Wednesday, July 14, 2010

Monday, June 28, 2010

NEWS

GENEVIVA EMMANUEL AWA MISS TEMEKE 2010


Miss temeke Geneviva akiwa amepozi katika picha nawenzake Anna daudi mshindi wa pili na Pendo urassa mshindi wa tatu

EMINEM AVUNJA LEKODI NA ALBAM YAKE MPYA YA (RECOVERY)
Recovery has gone plattinum in the US in less than two weeks selling over one million copies.
The record is at number one on the billboard.


BENJAMINI WA MAMBOJAMBO KUWAPAGAWISHA MASHABIKI WAKE KESHO NDANI YA MWAMBA HOUSE ART IN TANZANIA VALUNTEERS HOUSE BAHARI BEACH KESHO 9/JULY/2010.
Ukali wa benjamini si kwenye production tu' Bali hawapo stejini akiimba ninomaaa kama hujabatika kuona live akiimba basi kesho usikoe kutembelea pande za bahari beach kumshuudia mkali huyo akifanya vitu vyake.





LAGY GAGA WAPO NA MPENZIWAKE HUWA MTULIVU 'SI KAMA AWAPO STEJINI
Msanii nyota wa muziki lady gaga ametamba akisema kwamba uzuri alionao sio sababu ya yeye kumdanganya mpenzi wake kwa mambo ya ajabu ajabu kwa sababu tu yeye ni mzuri na anaweza kupendwa na mwanaume yeyote, Asema kwamba awapo katika mahusiano na mwanaume huwa na msimamo mkali katika mapenzi na si mapenzi ya udanganyifu kama mastaa wengine, Kamwe uzuriwangu auwezi kunipa kiburi kwa nimpendaye.




MWANA DADA JESSICA SIMPSON ANGEISHI BONGO INGEKUWAJE?
Habari nyepesi nyepesi mwana dada jessica aongoza kwa kubadilisha mabwana jamani kama mlikuwa hamjui sasa habari ndiyo hii, Hivi karibuni mwana dada huyu ameonekana akitoka out na mchezaji wa mpira wa miguu wa timu ya marekani anayeitwa Eric Johnson na kabla ya hapo alikuwa akitembea na nyota wa Dallas Cowboy anaeitwa Tony Romo.




MISS TEMEKE KUFANYIKA JUNE,9 TCC CHANG'OMBE
Mtanange wa kumsaka redd's miss temeke unatarajiwa kufanyika tarehe 9 june 2010 katika ukumbi wa tcc chang'ombe, ambapo warembo 12 kuchuana.




WAPENZI WA FACEBOOK SASA TUNAWALETEA FACENEWS TUKUTANE HUKO
Jamani uki log in facebook kumbuka kutafuta FACENEWS mambo yote yapo humo jamani msikose kutembelea.


KUTOKA MZUKA RECORDS ALBUM YA AT YAKAMILIKA KAATAYARI KUIPOKEA
Manamuziki wa bongo fleva AT kumaliza kile kilichokuwa kinamtoa jasho kwa muda mwingi katika kutimiza azima yake yakuwapa mashabiki wake vitu wavipendavyo haswa katika nyanja ya muziki Mungu akubariki kijana umiza kichwa.


UREMBO WA ALICE LUSHIKU WAITIKISA KINONDONI ,AWAPOTEZA WENZAKE AWA MISS KINONDONI 2010
Katika kinyang'anyilo cha kumsaka miss kinondoni 2010 kilichofanyika katika ukumbi wa mlimani city atima Alice Lushiku aibika kidedea kwa kushinda shindano hilo na kuvalishwa taji kuwa miss kinondoni 2010 ongela sana dada ongeza juhudi utuwakilishe miss tanzania.




WAREMBO HAWA WAMEFUNIKA MBAYA SOUTH AFRICA
Wana dada hawa Alicia Keys na Shakira niwashabiki wazuri wa mpira tukiachia mbali kutumbuiza kwao katika ufunguzi wa kombe la dunia kwataarifa tu wanafagiria mpira mwanzo mwisho.






MISS KINONDONI KUPATIKANA LEO USIKU 1/JULY/2010
Washiliki wa miss kinondoni wakiwa katika ofisi za gazeti la Tanzania Daima zilizopo jengo la bilcanas posta mpya.




BAHATI CHANDO NDIYE MISS ILALA 2010
Katika kinyang'anyilo cha kumsaka miss ilala 2010 mwana dada Bahati Chando ndiye aliyefanikiwa kuvalishwa taji hilo la miss ilala 2010 akifutiwa na Consolata lukosi na mshindi watatu ni Salma Mwakalukwa pambano hilo lilifanyika katika ukumbi wa ubungo plaza uliopo Dar-es-salaam.




MISS LINDI 2010






MICHAEL YOGAYOGA THE GOLDEN BOY

Mwana sarakasi wakimataifa Michael yogayoga anatarajia kuanza ziara yake ya sarakasi baada ya kombe la dunia akianzia na nchi ya Ubeligiji na baada yakumaliza show zake atarejea nchini na atakuwa na ratiba kutembelea mashule mbalimbali nchini pamoja na vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima ilikujua nijinsi gani ataweza kuinua vipaji vyao.